Karibuni wapendwa katika ukurasa wetu huu, kwa lengo la kujua matukio mbalimbali yanayotokea nchini mwetu, lengo ni kukuhabarisha wewe msomaji, ili usipitwe na lolote litakalotokea katika nchi yetu bara pamoja na visiwani, ikiwa mambo ndo kwanza yaanaanza , katika kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kuanza heka heka zake mwezi wa saba, huk uchaaguzi wenyewe kuwa mwezi oktoba mwaka huu, me nasema tukutane octoba mpenzi msomaji ,kuweza kuamua nai ni nai, bila kusahau katiba inaopendekezwa ! basi kujua yote tembelea ukurasa huu ili usiweze kupitwa na jambo,. me nimerudi tenaa hapa kwa lengo la kukuhabarisha .
Karibuni saanaaaaaa, hapa utapata kuona video, kusikiza sauti we ni follow tu kwenye facebook page yangu , au twitter , utakapoingia utaona kila kituuuu!!!!!!!