Monday, November 23, 2015

Mzee Mohamed  Paschal Shija , anasumbuliwa na mguu kwa kipindi cha miaka 8 toka alipoaanza kuumwa  mwaka 2006, hana msaada wowote, kwani hata nyumba anayoishi kiukweli  haipo katika mazingira mazuri; anahitaji msaada  wako ewe mtanzania kwa hali na mali ,  kwa yeyote anayetaka kumsaidia mzee huyu  aliyepo fuoni mambo sasa visiwani zanzibar  awasialiane na mtoto wake  Ali  Mohamde kwa namba  0712914468, au kwa namba yangu 0716 33 97 96 na nitampeleka kwa mzee huyu! M CHANGO WAKO UNAHITAJIKA KIUKWELI. KUTOA NI MOYO.  ASANTENI
Hii ni nyumba anayoishi Mzee Mohamed Paschal shija., Fuoni MamboSASA, Zanzibar
Akiwa  katika m,asikitiko makubwa. Nyumbani kwake  Fuoni mambo sasa, Zanzibar

No comments:

Post a Comment