Mzee Mohamed Paschal Shija , anasumbuliwa na mguu kwa kipindi cha miaka 8 toka alipoaanza kuumwa mwaka 2006, hana msaada wowote, kwani hata nyumba anayoishi kiukweli haipo katika mazingira mazuri; anahitaji msaada wako ewe mtanzania kwa hali na mali , kwa yeyote anayetaka kumsaidia mzee huyu aliyepo fuoni mambo sasa visiwani zanzibar awasialiane na mtoto wake Ali Mohamde kwa namba 0712914468, au kwa namba yangu 0716 33 97 96 na nitampeleka kwa mzee huyu! M CHANGO WAKO UNAHITAJIKA KIUKWELI. KUTOA NI MOYO. ASANTENI
Hii ni nyumba anayoishi Mzee Mohamed Paschal shija., Fuoni MamboSASA, Zanzibar
Akiwa katika m,asikitiko makubwa. Nyumbani kwake Fuoni mambo sasa, Zanzibar
MATUKIO NA VIJIMAMAMBO DUNIANI
Monday, November 23, 2015
Sunday, April 19, 2015
wasomaji
Karibuni wapendwa katika ukurasa wetu huu, kwa lengo la kujua matukio mbalimbali yanayotokea nchini mwetu, lengo ni kukuhabarisha wewe msomaji, ili usipitwe na lolote litakalotokea katika nchi yetu bara pamoja na visiwani, ikiwa mambo ndo kwanza yaanaanza , katika kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kuanza heka heka zake mwezi wa saba, huk uchaaguzi wenyewe kuwa mwezi oktoba mwaka huu, me nasema tukutane octoba mpenzi msomaji ,kuweza kuamua nai ni nai, bila kusahau katiba inaopendekezwa ! basi kujua yote tembelea ukurasa huu ili usiweze kupitwa na jambo,. me nimerudi tenaa hapa kwa lengo la kukuhabarisha .
Karibuni saanaaaaaa, hapa utapata kuona video, kusikiza sauti we ni follow tu kwenye facebook page yangu , au twitter , utakapoingia utaona kila kituuuu!!!!!!!
Karibuni saanaaaaaa, hapa utapata kuona video, kusikiza sauti we ni follow tu kwenye facebook page yangu , au twitter , utakapoingia utaona kila kituuuu!!!!!!!
Tuesday, March 25, 2014
BUNGENI LEOOOOO!
LEO KATIKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMAAA,,
Wajumbe wa bunge hilo wamlalamikia Mwenyekiti wa bunge maalum la katiba Samuel Sitta, kwa uteuzi wake wa wajumbe katika kamati mbalimbali za uongozi kuhusiana na madaraka ya wajumbe hao.
Wamesema wamejikita zaid upande mmoja wa CCM, na kumaanisha kuwa bunge hilo si la katiba bali ni la CCM.
Na katika hali ya kushangaza Mwenyekiti Taifa wa CUF, Pr, Ibrahim Lipumba ajitoa katika uteuzi wa Mwenyekiti kwa kuwa uteuzi huo haukutenda haki.
Wajumbe waliendelea kutenda kutoa malalamiko hayo kuhusiana na uteuzi, hata hivyo bunge hilo limehahirishwa mpaka kesho saa tatu.
Ni vijimambo tu ndani ya BUNGE MOVIEEEE!!!!!!
Wajumbe wa bunge hilo wamlalamikia Mwenyekiti wa bunge maalum la katiba Samuel Sitta, kwa uteuzi wake wa wajumbe katika kamati mbalimbali za uongozi kuhusiana na madaraka ya wajumbe hao.
Wamesema wamejikita zaid upande mmoja wa CCM, na kumaanisha kuwa bunge hilo si la katiba bali ni la CCM.
Na katika hali ya kushangaza Mwenyekiti Taifa wa CUF, Pr, Ibrahim Lipumba ajitoa katika uteuzi wa Mwenyekiti kwa kuwa uteuzi huo haukutenda haki.
Wajumbe waliendelea kutenda kutoa malalamiko hayo kuhusiana na uteuzi, hata hivyo bunge hilo limehahirishwa mpaka kesho saa tatu.
Ni vijimambo tu ndani ya BUNGE MOVIEEEE!!!!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)