Monday, November 23, 2015

Mzee Mohamed  Paschal Shija , anasumbuliwa na mguu kwa kipindi cha miaka 8 toka alipoaanza kuumwa  mwaka 2006, hana msaada wowote, kwani hata nyumba anayoishi kiukweli  haipo katika mazingira mazuri; anahitaji msaada  wako ewe mtanzania kwa hali na mali ,  kwa yeyote anayetaka kumsaidia mzee huyu  aliyepo fuoni mambo sasa visiwani zanzibar  awasialiane na mtoto wake  Ali  Mohamde kwa namba  0712914468, au kwa namba yangu 0716 33 97 96 na nitampeleka kwa mzee huyu! M CHANGO WAKO UNAHITAJIKA KIUKWELI. KUTOA NI MOYO.  ASANTENI
Hii ni nyumba anayoishi Mzee Mohamed Paschal shija., Fuoni MamboSASA, Zanzibar
Akiwa  katika m,asikitiko makubwa. Nyumbani kwake  Fuoni mambo sasa, Zanzibar

Sunday, April 19, 2015

wasomaji

Karibuni wapendwa katika ukurasa wetu huu, kwa lengo la kujua matukio mbalimbali yanayotokea nchini mwetu, lengo ni kukuhabarisha wewe msomaji, ili usipitwe na lolote litakalotokea katika  nchi yetu bara pamoja na visiwani, ikiwa mambo ndo kwanza yaanaanza  , katika kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kuanza heka heka zake  mwezi wa saba, huk uchaaguzi wenyewe kuwa mwezi oktoba mwaka huu, me nasema tukutane octoba mpenzi msomaji ,kuweza kuamua nai ni nai, bila kusahau katiba inaopendekezwa ! basi kujua yote tembelea ukurasa huu ili usiweze kupitwa na jambo,. me nimerudi tenaa hapa kwa lengo la kukuhabarisha .
Karibuni saanaaaaaa, hapa utapata kuona video, kusikiza sauti  we ni follow tu kwenye facebook page yangu , au twitter , utakapoingia utaona kila kituuuu!!!!!!!

WEEK END

KILA REHMA MUNGU ATAJAALIA! WEEK END NJEMA WAUNGWANA!

Thursday, April 3, 2014


IMG-20140225-WA0015.jpgCHEKI  VAZI LA KITENGE LINAVYOMPENDEZA MWANAMKEEE!! HAPANA CHEZEAAA
 IMG-20140225-WA0015.jpg

Tuesday, March 25, 2014

BUNGENI LEOOOOO!

LEO KATIKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMAAA,,

Wajumbe wa bunge hilo wamlalamikia Mwenyekiti wa bunge maalum la katiba Samuel Sitta,  kwa uteuzi wake wa wajumbe katika kamati mbalimbali za uongozi kuhusiana na  madaraka ya wajumbe hao.

Wamesema wamejikita zaid upande mmoja wa CCM, na kumaanisha kuwa bunge hilo si la katiba bali ni la CCM.

Na katika hali ya kushangaza  Mwenyekiti Taifa wa CUF, Pr, Ibrahim Lipumba ajitoa katika  uteuzi wa  Mwenyekiti  kwa kuwa uteuzi huo haukutenda haki.

Wajumbe waliendelea kutenda  kutoa malalamiko hayo kuhusiana na uteuzi, hata hivyo bunge hilo limehahirishwa mpaka kesho saa tatu.

Ni vijimambo tu ndani ya BUNGE MOVIEEEE!!!!!!