Tuesday, December 17, 2013


  Chezea mshono ww! chukua huo kama vipp! ni Dida huyo wa TIMES fm


Mke wa Nsilo Swai alivyomkabidhi Mzee Mandela Viatu alivyoviacha Tanzania

Monday, December 16, 2013

mandela+pix
PUMZIKA KWA AMANI TATA MADIBAAA!  TULIKUPENDA SANAAA!!!!
DAAAAH!!! VIONGOZI MBALIMBALI WALIMLILIA MANDELA , HUYU NAYE ALIKUWEPO. PUMZIKA KWA AMANI TATAAA!!!
Dogo hiloooo hapana chezeaaaa!!!   Ur Dreams willl comeeeee  !! Mc uuuuu ma son

MADIBA  HATUNAYEEEE!!!!


Ni kiongozi aliyekuwa mpiganji na mkonbazi katika nchi ya South Afrika, unapoizungumzia South Afrika hutoweza kuimaliza historia yake bila kumtaja Madibaaa


Leo amefariki dunia  usiku na kuwaacha simanzi familia yake  na kujmwacha mjane anayeitwa Gracia Machel.

Atazikwa ktk kijiji chake huko Pretotoria , cape town ! Tutawaletea makala yake inayomhusu Madibaaaaa aliyekaa gerezani miaka 27, na alipotoka aliwasamehe wotee!!
WANAWAKE WAJITOKEZAAAA KONGAMANONINOOOO!!! PEACOAK HOTELL 

Wananwake kutoka katika mataifa tofauti barani Afrika  wamejitokeza kwa pamoja kushow love kwa kutumia nafasi hiyo kujadili masuala tofauti yanayohusu michezo ili kuweza kuleta maendeleo  nchini 


Katika kongamano hilo Naibu waziri wa habari utamaduni na michezo Amos Makalla amesema fursa zinzojitokeza lazima zichangamkiwe na wanawake kwani bila kujitokeza hakutasaidia maendeleo ya  michezo nchini

Nchi zaidi ya 17 zimeshiriki katika kongamano hilo  na kuwataka wananchi kujitokeza siku ya jumatano kuhudhuria katika Kongamano hilo litakalokuwa na michezo mbalimbali kwa kuwahusisha wanawake na wanaume kutoka katika bara la Afrika.