Monday, December 16, 2013

WANAWAKE WAJITOKEZAAAA KONGAMANONINOOOO!!! PEACOAK HOTELL 

Wananwake kutoka katika mataifa tofauti barani Afrika  wamejitokeza kwa pamoja kushow love kwa kutumia nafasi hiyo kujadili masuala tofauti yanayohusu michezo ili kuweza kuleta maendeleo  nchini 


Katika kongamano hilo Naibu waziri wa habari utamaduni na michezo Amos Makalla amesema fursa zinzojitokeza lazima zichangamkiwe na wanawake kwani bila kujitokeza hakutasaidia maendeleo ya  michezo nchini

Nchi zaidi ya 17 zimeshiriki katika kongamano hilo  na kuwataka wananchi kujitokeza siku ya jumatano kuhudhuria katika Kongamano hilo litakalokuwa na michezo mbalimbali kwa kuwahusisha wanawake na wanaume kutoka katika bara la Afrika.

No comments:

Post a Comment