Friday, November 22, 2013

STORY ZA KIZUSHI !!!!!!!!!!


Vijana wanaouzwa  na Wazazi wao ili kuweza kuleta kipato katika familia  zao, kwanini wazazi wanafanya hivi jamani? 

 Kama ww mdau hebu toa maoni yako hapaaa, na kuweza kujua sababu,  faida ikiwezekana  tujue njia ipi tutakayotumia katika hili !!!!

Tuzungumze  soteeeeeee!!!!!

No comments:

Post a Comment