Tuesday, December 17, 2013


  Chezea mshono ww! chukua huo kama vipp! ni Dida huyo wa TIMES fm


Mke wa Nsilo Swai alivyomkabidhi Mzee Mandela Viatu alivyoviacha Tanzania

Monday, December 16, 2013

mandela+pix
PUMZIKA KWA AMANI TATA MADIBAAA!  TULIKUPENDA SANAAA!!!!
DAAAAH!!! VIONGOZI MBALIMBALI WALIMLILIA MANDELA , HUYU NAYE ALIKUWEPO. PUMZIKA KWA AMANI TATAAA!!!
Dogo hiloooo hapana chezeaaaa!!!   Ur Dreams willl comeeeee  !! Mc uuuuu ma son

MADIBA  HATUNAYEEEE!!!!


Ni kiongozi aliyekuwa mpiganji na mkonbazi katika nchi ya South Afrika, unapoizungumzia South Afrika hutoweza kuimaliza historia yake bila kumtaja Madibaaa


Leo amefariki dunia  usiku na kuwaacha simanzi familia yake  na kujmwacha mjane anayeitwa Gracia Machel.

Atazikwa ktk kijiji chake huko Pretotoria , cape town ! Tutawaletea makala yake inayomhusu Madibaaaaa aliyekaa gerezani miaka 27, na alipotoka aliwasamehe wotee!!
WANAWAKE WAJITOKEZAAAA KONGAMANONINOOOO!!! PEACOAK HOTELL 

Wananwake kutoka katika mataifa tofauti barani Afrika  wamejitokeza kwa pamoja kushow love kwa kutumia nafasi hiyo kujadili masuala tofauti yanayohusu michezo ili kuweza kuleta maendeleo  nchini 


Katika kongamano hilo Naibu waziri wa habari utamaduni na michezo Amos Makalla amesema fursa zinzojitokeza lazima zichangamkiwe na wanawake kwani bila kujitokeza hakutasaidia maendeleo ya  michezo nchini

Nchi zaidi ya 17 zimeshiriki katika kongamano hilo  na kuwataka wananchi kujitokeza siku ya jumatano kuhudhuria katika Kongamano hilo litakalokuwa na michezo mbalimbali kwa kuwahusisha wanawake na wanaume kutoka katika bara la Afrika.

Friday, November 29, 2013

 CHASO WATOA TAMKOO!! 

Umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu mkoa wa  dar imetoa tamko lake kuhusiana na makanjanja wanafunzi kutoka katika umoja huo kwa kudai kuwa hawajafurahishwa na maamuzi yaliyotolewa na Kamati kuu !, sasa CHASO wanasema wanaipongeza kamati hiyo kwa uamuzi huo kwani mwanachama yeyote anayekiuka maadili ya chama anastahili kuvuliwa au kufukuzwa kabisa katika chama hicho,  kwa sababu anakwenda kinyume na taratibu za chama! 

Julius Matiko Amesema mbele ya waandishi wa habari na kusema kuwa wale si wanafunzi halali wa umoja wa chama chao , hivyo kuwataka watanzania wasiamini kwa kile wanachosema, wao kama Umoja wamepongeza kitendo hicho

 Chama akijali kabila wala cheo cha mtu kwa watu, so inatakiwa adabu utii na maadili katika chama yafuatwe kama katiba ya chama inavyoeleza. 

 Xo vp hapa kuhusiana na hili, tiririka hapo chini mdauu wanguuuu!!!

Friday, November 22, 2013

STORY ZA KIZUSHI !!!!!!!!!!


Vijana wanaouzwa  na Wazazi wao ili kuweza kuleta kipato katika familia  zao, kwanini wazazi wanafanya hivi jamani? 

 Kama ww mdau hebu toa maoni yako hapaaa, na kuweza kujua sababu,  faida ikiwezekana  tujue njia ipi tutakayotumia katika hili !!!!

Tuzungumze  soteeeeeee!!!!!
Kwa wale Wapenzi wa Burudani nchini!!!!

Wanamuziki wa kizazi kipya kutoka nchini Nigeria  Peter na Pool, wapo nchini Tanzania kwa ajili ya kudondosha burudani zaidi kwa wapenzi wa muziki huo.

Wakiongea na waandishi wa habari  hotel ya kempisk jijini Dar , wamesema watatoa burudani ya kufa mtu ili kupoza kiu ya mashabiki waliokuwa wamewamiss kwa kipindi kirefuu  ambao watakaohudhuria siku hiyo ya onyesho .


Wanamuziki hao wanatarajia kufanya ionyesho lao siku ya jumamos tarehe 23, Nov, mwaka huu  katika viwanja vya Leaders Jijini Dar es salaamm!!!!


Monday, July 1, 2013

AJALI YAUA!!!

watu wamefariki na mia kujeruhiwa ktkt ajali ya barabarani.

Friday, June 21, 2013

Mwanafunzi wa chuo kikuu Dar es salaam, apigwa risasi!!

Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam apigwa risasi usiku, wakati walipokuwa wakijisomea na wenzake.